QNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha kupitishwa kwa sheria nchini Ireland inayopiga marufuku uingizaji wa bidhaa kutoka vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina. Wizara hiyo imetoa wito kwa mataifa na mabunge yote duniani kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3482549 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi nchini Ireland imeamua kuwaruhusi maafisa wa polisi kike ambao ni Waislamu kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471900 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06